Kamis, 21 Januari 2010

POPE BENEDICT XVI KUACHIA ALBUM YAKE [I dint know dat pope is an artist]



Kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki Papa Benedict XVI

Papa Benedicto anadondosha album yake muziki mwisho wa mwezi huu.

Katika album hiyo ambayo inaendana maadili na mfumo wa kanisa katoliki inategemewa kuwa yenye ubora wa hali ya juu kwa mujibu wa watayarishaji kampuni ya muziki ya Geffen Records.

Kampuni ya Geffen Record imeshawahi kufanya kazi na wasanii ikiwemo Elton John, Donna Summer and Snoop Dogg.


Meneja mkuu wa kampuni hiyo aliutangazia umma ,kuwa wanafuraha kusaini mkataba na msanii mpya Papa Benedict XVI.

***** ****** ******
Hongera Papa Benedict kwa kuingia studio.Natumaini wezi wa kazi za wasanii hawatakuliza kama wanavyoliza wasanii wetu.

Tidak ada komentar:

Posting Komentar